Tuesday, March 24, 2009

Wanafunzi kuwataja walimu wanaondekeza ngono

WANAFUNZI wa shule ya sekondari Lupanga mkoani Morogoro watapiga kura kuwataja walimu wanaoendekeza kufanya ngono na wanafunzi wa kike.

Wanafunzi hao wamegoma kuingia madarasani wakishinikiza walimu hao wachukuliwe hatua za kinidhamu.

No comments:

Post a Comment