Tuesday, March 24, 2009
Wanafunzi kuwataja walimu wanaondekeza ngono
WANAFUNZI wa shule ya sekondari Lupanga mkoani Morogoro watapiga kura kuwataja walimu wanaoendekeza kufanya ngono na wanafunzi wa kike.
Wanafunzi hao wamegoma kuingia madarasani wakishinikiza walimu hao wachukuliwe hatua za kinidhamu.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment