Alfie, Chantelle na 'mtoto wao'
Maisie na 'baba'
'Baba na mwanae'
VIPIMO vya vinasaba(DNA) vimeonyesha kuwa yule mtoto mwenye umri wa miaka 13 aliyesema ni baba wa mtoto si baba wa mtoto huyo, Maisie.
Kabinti ka miaka 15, Chantelle Stedman aliutangazia umma kwamba Alfie ni baba mzazi wa Maisie kwa kuwa ni 'mwanaume' pekee aliyejamiiana nae.
Baada ya msichana huyo kusema hivyo walijitokeza wavulana kadhaa waliopinga kauli ya Chantelle kwa kudai kuwa mtoto huyo ni wao kwa kuwa wamehi kula uroda na mtoto huyo.
Kabinti ka miaka 15, Chantelle Stedman aliutangazia umma kwamba Alfie ni baba mzazi wa Maisie kwa kuwa ni 'mwanaume' pekee aliyejamiiana nae.
Baada ya msichana huyo kusema hivyo walijitokeza wavulana kadhaa waliopinga kauli ya Chantelle kwa kudai kuwa mtoto huyo ni wao kwa kuwa wamehi kula uroda na mtoto huyo.
Alfie aliwaponda wavulana hao kusisitiza vichukuliwe vipimo vya DNA ili kuthibitisha kuwa yeye ni baba mzazi wa mtoto huyo.
Kitendawiliiii, tegaaa, nani baba wa Maisie?
No comments:
Post a Comment