SOMA nukuu hizi, duh, ebwana eeh
"Ndugu zangu afadhali msijue mshahara anaolipwa Dk Slaa kama Mbunge, mkijua nalipwa shilingi ngapi mnaweza hata kunipiga mawe"
"Mnataka kujua mshahara wangu, ninalipwa shilingi milioni saba kwa mwezi. Haki iko wapi? Mimi nalipwa shilingi milioni saba, na posho yangu kwa siku ni shilingi 135,000. Haya ni malipo makubwa mno, fedha ninayopata kwa siku inaweza kuzidi hata mshahara wa mwezi mzima wa polisi. Muulizeni yule polisi pale analipwa shilinig ngapi msikie"
"Juzi nimetaja posho za wabunge na kusema zipunguzwe, lakini Spika wa Bunge analalamika eti naingilia haki na madaraka ya Bunge, sasa leo nasema ninalipwa jumla ya shilingi milioni saba kwa mwezi, acha posho za bungeni. Kweli hii haki?"
Ni maneno ya Mbunge wa Karatu, Dk Wilbroad Slaa wakati akihutubia wakazi wa mji mdogo wa Hedaru wilayani Same mkoani Kilimanjaro.
"Ndugu zangu afadhali msijue mshahara anaolipwa Dk Slaa kama Mbunge, mkijua nalipwa shilingi ngapi mnaweza hata kunipiga mawe"
"Mnataka kujua mshahara wangu, ninalipwa shilingi milioni saba kwa mwezi. Haki iko wapi? Mimi nalipwa shilingi milioni saba, na posho yangu kwa siku ni shilingi 135,000. Haya ni malipo makubwa mno, fedha ninayopata kwa siku inaweza kuzidi hata mshahara wa mwezi mzima wa polisi. Muulizeni yule polisi pale analipwa shilinig ngapi msikie"
"Juzi nimetaja posho za wabunge na kusema zipunguzwe, lakini Spika wa Bunge analalamika eti naingilia haki na madaraka ya Bunge, sasa leo nasema ninalipwa jumla ya shilingi milioni saba kwa mwezi, acha posho za bungeni. Kweli hii haki?"
Ni maneno ya Mbunge wa Karatu, Dk Wilbroad Slaa wakati akihutubia wakazi wa mji mdogo wa Hedaru wilayani Same mkoani Kilimanjaro.
No comments:
Post a Comment