WATU wasiofahamika wamelishambulia gari la Halmashauri ya Wilaya ya Songea lililokuwa limebeba masanduku yenye kura za watuhumiwa wa mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi yaani Albino, watuhumiwa wa ujambazi, wanaotuhumiwa kujihusisha na biashara ya viungo vya binadamu na dawa za kulevya.
Kwa mujibu wa Mwakilishi wa Shirika la Utangazaji Tanzania(TBC), Ruvuma, kabla ya shambulizi hilo, kuna watu walipita mitaani kuwatangazia wananchi kuwa zoezi la kupiga kura hizo limesitishwa hivyo wasiende kupiga kura.
Kamanda wa polisi Ruvuma, Michael Kamuhanda amesema, polisi wanawasaka wahusika
No comments:
Post a Comment