
RAIS Jakaya Kikwete amekuwa mfano wa kuigwa kwa namna anavyoweza kujishusha na kuzungumza na wananchi wa hali ya chini wakiwamo watoto kutoka katika familia masikini.
Unaweza kutoa tafsiri nyingi kuhusu picha ya hapo juu ila usisahau kwamba huyo anayezungumza na mtoto ni Rais wa nchi hivyo hadi mtoto huyo afike hapo kwenye gari lazima kiongozi huyo alimuita, jamaa wa usalama wakamruhusu.
Pia unapoitafsiri hiyo picha ujiulize kwa nini Rais alimuita mtoto na si mtu mzima?
No comments:
Post a Comment