Monday, November 18, 2013

Dk Mvungi kuzikwa leo Moshi


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akitoa heshima za mwisho Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba akitoa heshima za mwisho
 Waziri Mkuu,Mizengo Pinda, akitoa heshima za mwisho 
 Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa akitoa heshima za mwisho.

Mjane wa marehemu, Anna, akiwa na mwanawe, Dk Natujwa.

Dk Natujwa Mvungi akiwa na mama yake, Anna Mvungi wakati wa ibada ya mazishi, Dar es Salaam.

Picha kwa hisani ya Blog ya Habari Mseto

No comments:

Post a Comment