Friday, September 20, 2013

Nukuu ya leo



Ukikamatwa na dawa za kulevya hatukutetei kwa sababu hata sheria za nchi zetu zinazuia biashara hiyo. Sisi hatuwezi kuendelea kuwa na sifa ya kufanya biashara za ovyo ovyo kiasi hicho. Serikali itawatetea Watanzania wanaoishi nchi za nje ikiwa wataonewa. Lakini ukifanya biashara ya madawa ya kulevya ama kubaka watu hatukutetei kamwe,” Rais Jakaya Kikwete.

No comments:

Post a Comment