Tuesday, December 4, 2012

Kili Stars wamnyamazisha Niyonzima


 Kiungo mshambuliaji wa timu ya Kilimanjaro Stars , Amri Kiemba na beki wa timu ya Rwanda, Michel Rusheshangoga wakiwania mpira wakati wa mchezo wa robo fainali ya kwanza uliochezwa katika Uwanja wa KCC uliopo Lugogo nchini Uganda.Kili Star walishinda 2-0
 Kiungo mchezeshaji wa Kilimanjaro Stars, Mwinyi Kazimoto akizuiwa na beki wa Rwanda, Ismail Nshutiyamagara
 Kipa wa Rwanda aliyelala chini akijitahidi kuokoa goli lililofungwa na Amri Kiemba baada ya kazi nzuri iliyofanywa na Mwinyi Kazimoto
 Mashabiki wa Kilimanjaro Stars
 Mshambuliaji wa timu ya Kilimanjaro Stars, Mrisho Ngasa aliyelala chini na wachezaji wenzake wakishangilia kwa staili ya aina yake baada ya kuwanyuka Rwanda 2-0
Kila la heri Kili Stars.

No comments:

Post a Comment