Saturday, December 8, 2012

Kamati ya Ulinzi SADC Ikulu Dar es Salaam

Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya nchi za Jumuiya uchumi na maendeleo ya Kusini (SADC) Rais Dkt.Jakaya Kikwete akimkaribisha Ikulu Rais Jackob Zuma wa Afrika Kusini ili kushiriki kikao cha kamati hiyo.
 Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya nchi za Jumuiya uchumi na maendeleo ya Kusini (SADC) Rais Dkt.Jakaya Kikwete akimkaribisha ikulu Rais Jackob Zuma wa Afrika Kusini ili kushiriki kikao cha kamati hiyo.Pembeni ni Katibu Mkuu wa SADC Dr.Tomaz Salomao.
Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya SADC Rais Dkt.Jakaya Kikwete( Wanne Kushoto) akiwa na viongozi SADC waliopo katika kamati hiyo.Wengine katika picha ni Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma (watatu kushoto), Rais Hifikepunye Pohamba wa Namibia (kulia),Rais Mstaafu wa Msumbiji ambaye pia ni msuluhishi  wa SADC kwenye mgogoro wa Madagaska, Joachim Chissano (wapili kushoto) na kushoto ni Katibu mkuu wa SADC Dkt.Tomaz Salomao. (Picha na Freddy Maro).

No comments:

Post a Comment