Tuesday, June 12, 2012

Kweli siasa si uadui



 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, akifurahia jambo na Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbroad Slaa walipokutana katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam kuuaga mwili wa muasisi wa Chadema,  Bob Makani. Katikati ni Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe.
 Nape(kushoto) akifurahia jambo na Dk. Slaa
 Nape na Dk. Slaa  
 
(Picha na Bashir Nkoromo wa Daily Nkoromo Blog)

No comments:

Post a Comment