Wednesday, June 13, 2012
Kesho ni bajeti ya Serikali
Spika wa Bunge Anne Makinda.
Mkutano wa Bunge ulioanza jana mjini unaendelea, na kwa kiasi kikubwa hivi sasa Watanzania wanasubiri kusikia vipaumbele vya Serikali katika mwaka ujao wa fedha 2012/2013 vinavyotarajiwa kutangazwa kesho kwenye bajeti ya Serikali.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment