Friday, May 27, 2011

Bingwa wa dunia anusurika kubwagwa

Usain Bolt akishangilia ushindi jana usiku Rome Italia.


Asafa Powell (wa kwanza kushoto) alitoa upinzani mkali kwa Bolt na nusura ashinde mbio za Sumsung Diamond.


Bolt alishinda kwa NUKTA 02 tu!


MWANADAMU anayetajwa kuwa ana kasi zaidi duniani hivi sasa, Mjamaika , Usain Bolt, jana usiku nusura aipoteze sifa hiyo kwa kuwa alipata ushindi mwembamba kwenye mashindano jijini Rome, Italia.


Mashabiki wa riadha hawakuitarajia hali hiyo kwa kuwa kasi ya Bolt inafahamika, na hata yeye amekiri kuwa jana alikimbia chini ya kiwango chake.



Soma hapo chini


Usain Bolt is not the man he was, judging by his first race of the year. Certainly he is not the superman he was in Beijing.

The world record-holder was very nearly beaten by his compatriot Asafa Powell in Thursday night's Samsung Diamond League meeting.



His start was ordinary, his pick-up pedestrian and not until the last 10 metres did he take a lead.
He won in 9.91sec, with Powell in 9.93sec according to the electronic timing, though to the naked eye it looked closer. It is not even fastest in the world this year, as another Jamaican, Steve Mullings, has run 9.89sec.



Bolt's first appearance in Rome drew 47,000 to Rome's Olympic Stadium, the largest crowd for more than 20 years, and the shock he gave them was not one of awe.


He looked like a man finding sprinting hard work.

'The nerves got to me,' said Bolt. 'In fact, it was a totally bad race and I'm just pleased I won.'



Powell was frustrated at missing his chance. 'I lost my focus and so he could beat me,' he said.

No comments:

Post a Comment