Friday, February 13, 2009
BREAKING NEWS
KUNA taarifa kwamba muda mfupi uliopita basi dogo la abiria limegongana na lori katika barabara ya Chalinze- Segera mkoani Pwani.
Inadaiwa kwamba watu wengi waliokuwa wakisafiri kwenye basi hilo wamekufa, taarifa zaidi baadaye.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment