"Nasema hizi ni kodi zenye kero, wabunge sheria mnazitengeneza wenyewe,
katika eneo hili la kodi naomba zifuteni ili muwape ahueni wananchi
wenu, haiwezekani mama anauza ndizi zake, hata yeye mwenyewe hajapata
fedha nyie mnamdai, atajikimu vipi na maisha, na atawasomeshaje watoto
wake?”
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana.
No comments:
Post a Comment