Monday, February 16, 2009

Tanki la mafuta lapasuka DSM

KUNA taarifa kwamba tanki la lori la mafuta limepasuka muda mfupi uliopita katika makutano ya barabara za Nyerere na Kawawa jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa taarifa hizo, polisi tayari wamefika kwenye eneo la tukio kuhakikisha usalama ikiwa ni pamoja na kuepusha madhara yanayoweza kusababishwa na mlipuko wa moto.

No comments:

Post a Comment