

OPRAH Winfrey ni miongoni mwa watu matajiri zaidi duniani, na nathubutu kusema huenda anaongoza kwa umaarufu miongoni mwa wanawake hivi sasa.
Namtafuta Oprah wa Tanzania, si lazima utajiri kama mwanamke huyo wa Marekani ila ni lazima mwanamke huyo Mtanzania 'awe nazo' na awe mwanamke maarufu zaidi Tanzania.
Si vibaya na sisi tukianzisha utaratibu wa Kutambuana, kama unahisi una sifa za kuwa Oprah wa Tanzania tafadhali tuma ujumbe kwenye blog hii ya jamii, na endapo unamfahamu mwenye sifa hizo pia tufahamishe.
No comments:
Post a Comment