INAWEZEKANA kutokana na shughuli zako au mazingira unayoishi unashindwa kusikia baadhi ya kauli au misemo ya uswahilini, si vibaya ukiifahamu kwa kuwa ipo hivyo hata nisingekuambia kwenye blog hii ya jamii ingendelea kuwepo.
Nitajitahidi kadri ninavyoweza kukujulisha yanayosemwa mitaani kwa kuwa ni mengi hivyo kila nitakavyoyapata nitakusimulia.
Leo naanza na hii ' KAMA KUOGA NI USAFI TAULO ISINGECHAFUKA'
No comments:
Post a Comment