Monday, February 16, 2009

Kwani unabisha?


UKIAMBIWA utaje wasanii watatu wakali wa bongo flava si rahisi kuyaacha majina ya hao hapo juu, Lady Jay Dee na Profesa J.
Wapo wanaoamini kuwa, Jide na Jay ndiyo wakali zaidi kwa bongo flava, kama una hoja kupinga hilo sema usikike

No comments:

Post a Comment