Saturday, February 21, 2009

Harusi watoto wa vigogo



BINTI wa Rais Chama cha ANC cha Afrika Kusini, Jacob Zuma, Gugutethu, amefunga pingu za maisha na mtoto wa Katibu Mkuu wa Chama MDC cha Zimbabwe, Welshman Ncube, Bongani Ncube.
Picha ya msichana huyo akiwa na mumewe, Bongani, picha ya chini ni Zuma na akiwa na binti yake siku ya harusi hiyo. Picha hizo ni kwa hisani ya drfaustine.blogspot.com

No comments:

Post a Comment